AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MSANII wa Filamu Irene Uwoya @ireneuwoya8 ‘Uwoya’ amesema kuwa, anaweza kulia pale ambapo akishindwa kuelewana na mpenzi wake.
Akistorisha mwanamama huyo amesema kuwa, kwenye vitu ambavyo anaviheshimu; moja kati ya hivyo ni uhusiano wake wa kimapenzi.
“Napenda sana kuiheshim pesa ila kwangu kubwa zaidi ninachokiheshimu ni mahusiano yangu ninaweza kulia pale ambapo ninashindwa kuelewana na mpenzi wangu.
“Namheshimu sana na ninampenda hivyo tukitokea kugombana inanikata stimu kabisa yaani ninakuwa na huzuni isiyokuwa na kifani,” alisema Uwoya.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK