Kaiba Nguo Yangu ya Ndani ili Nisiolewe Baada ya Kumkataa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



James alikuwa kijana ambaye anaishi mtaani kwetu Buza, tuliweza kujuana na kuonana mara kwa mara, siku moja natoka Stand ya Buza ili niende nyumbani, nikakutana na James na kuniomba namba yangu ya simu, bila tatizo niliweza kumpatia. 

Usiku huo James aliweza kunipigia simu na kuniomba tuwe wapenzi, maneno hayo yalinishtua kwa sababu alikuwa miongoni mwa vijana wanaosifika kwa kuwa na tabia mbaya mtaani kwetu.

Sikuweza kumkubalia ombi lake kutokana na tabia yake, pia hakuwa na sifa ambazo nilizipenda, baada ya kukataa ombi lake ilikuwa vita kwangu, mara kunitumia marafiki zake na kusema maneno machafu juu yangu, na muda mwingine kunifanyia fujo hadi kunipiga.

Siku moja nilifua nguo zangu hadi za ndani na kuzianika nje, baada ya masaa kadhaa kupita nilitoka nje kwa ajili ya kuanua nguo zangu, nilishangaa kuona nguo yangu moja ya ndani haipo pale nje katika kamba. 

Sikuweza kufuatili sana maana sikudhani kuwa kuna mtu anaweza chukua nguo yangu ya ndani, kesho yake muda wa saa tano asubuhi Bibi yangu aliniagiza dukani, njiani nikakutana na Alex ambaye ni miongoni mwa marafiki wake James. 

Alex alinisimamisha kisha kunipatia mfuko mweusi na kuniambia ni ujumbe kutoka kwa James, mwanzo nilikataa kuupokea lakini Alex aliniomba nichukue, basi hapo hapo nikafungua na kukuta chupi yangu imekatwa katwa. 

Sikufika hata dukani niligeuza na kurudi nyumbani haraka kabla sijafika nyumbani nikakutana na James na marafiki zake wawili, hapo James ndio akasema; “Naapa hutowahi kupata Mume maishani mwako, wewe ni wangu". 

Sikujibu chochote zaidi ya kwenda kumsimulia Bibi na kumuomba Mungu ili aniepushe na visa vya James, maana niliweza kufika hatua ya kuogopa kutoka nje.

Baada ya miaka minne wenzangu wote waliweza kuolewa na James kupata mwanamke ila mimi sikuweza kupata mtu hata wa kuniomba uchumba. Nilipofikisha miaka 30 nikaanza kujiuliza mbona siolewi, pia nikaanza kukumbuka maneno ya James alivyosema na kujiuliza kwa nini aliiba chupi yangu na kuitoboa vipande vipande. 

Nilipofikisha miaka 32 bila kupata Mume na mtoto moyo wangu ulijaa na wasiwasi na kujiuliza kwa nini mimi tu, wapi nimekosea mbona wenzangu wote wana watu wao!. 

Nikiwa kwenye mitandao ya kijamii, napitia pitia nikaona mtu mmoja ametoa ushuhuda alivyoweza kusaidiwa na African Doctors hadi kupandishwa cheo kazini kwake. 

Nilichukua namba ya African Doctors ambayo alikuwa ameiweka kwenye ushuhuda wake, niliamua kuchukua uamuzi wa kuwasiliana naye, nilimwambia shida yangu kubwa sipati mwanaume na umri wangu unazidi kwenda.

Baada ya saa moja kupita, nilimpigia simu African Doctors, aliweza kunieleza maisha yangu yote na vikwazo nilivyokuwa nakumbana navyo, bila kusahau kuhusu tukio la Chupi yangu iliyoibiwa nikiwa na miaka 20. African Doctors akaniahidi kuwa atanisaidia na Love Spells, ndani ya siku nne nitapata matokeo mazuri. 

Siku ya tatu asubuhi niliweza pata mtu ambaye nilitamani kuwa naye ila sikuwa na uwezo ila kwa nguvu ya African Doctors, leo hii yupo kifuani mwangu katika ndoa. 

Katika mazungumzo African Doctors alisema anatibu mtu popote pale alipo na anatatua changamoto nyingine kama kurudisha mpenzi, kushinda michezo ya bahati nasibu, kutatua shida za familia. 

Wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com au watumie email; africandoctorheals@gmail.com.

Mwisho. 


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad