AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kenya. Ukisoma kichwa cha habari unaweza ukashtuka lakini ndio ukweli kwamba konda amekatisha uhai wa abiria wake aliyepungukiwa nauli huko nchini Kenya.
Tukio hilo limetokea jana Jumatano Mei 17 katika Barabara ya Outering iliyoko jijini Nairobi, ambapo mzozo uliibuka kati ya konda na abiria huyo mwenye umri wa miaka 17 aliyepungukiwa kiasi cha nauli cha KSh 20.
Inadaiwa mabishano yalizidi kati ya konda na abiria huyo hivyo konda akaamuwa kumtupa nje wakati gari hilo likiwa kwenye mwendo, kwa bahati mbaya gari hilohilo ndilo lililomkanyaga na kumuuwa.
Kwa mujibu wa tovuti ya Tuko ya nchini humo imesema konda huyo alichanja mbuga baada wakazi na wapiti njia wa eneo hilo kuamua kulichoma moto gari hilo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK