Mafanikio Haya Morocco Ndio Yamemfanya Kocha Sven Kuchukuliwa na Waydad Casablanca

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



DONE DEAL | Tayari @wacofficiel imemtambulisha rasmi aliyewahi kuwa Kocha wa Simba Sven Vandenbroeck kuwa Kocha wao Mkuu.

Januari 2021 Sven aliondoka Simba na kujiunga na AS FAR Rabat ya Morocco ambayo kwa kipindi kifupi aliipa mafanikio makubwa!

Aliiongoza timu hiyo kumaliza nafasi ya tatu nyuma ya vigogo Wydad Casablanca na Raja Casablanca katika misimu miwili mfululizo.

Mafanikio makubwa zaidi kwake kwenye soka la Morocco ni kuchukua ubingwa wa kombe la mfalme na kutangazwa Kocha bora wa msimu 2020|21.

Kwa hiyo Sven si Kocha mgeni nchini Morocco.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad