AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mrembo Lulu ambaye amejizolea umaarufu kwenye mtandao wa tiktok kwa jina la Dotto Waziri, ameeleza kuwa kazi yake rasmi ni uganga wa kienyeji
Dotto amesema kuwa kazi hiyo amerithi kutoka kwao kwani kuna asili ya mambo hayo
"Binafsi sikuwa najua kama nina uwezo huu wa uganga wa kienyeji, lakini ilianza baada ya kulogwa, sikua kichaa wa kuokota makopo lakini niliumwa sana. Kuanzia hapo ndio nikawa napandisha majini kitu ambacho sikujua kama ninacho"
"Mwaka jana mwezi wa Saba ndio niliyakubali majini na kuupokea uganga. Mwanzo sikuwa nataka sababu ya Usichana wakati mwingine nataka kunywa pombe ila nikinywa yananikaba"
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK