AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Yanga Akihojiwa Clouds FM amefunguka haya:
"Mwaka 2020 FEISAL alikuwa analipwa mshahara wa Mil 1.5 na sisi tuliboresha hadi Mil 4 na ada ya usajili Mil 100 kwa miaka minne ambayo ilikuwa apewe kwa awamu 4 lakini aliomba tumlipe yote kwa ajili ya kukidhi mahitaji yake na sisi tulifanya hivyo"
- Maneno ya Injinia Hersi akizungumzia swala la Feisal Salum aliyeomba kuondoka klabuni kwa madai ya maslai madogo
𝙈𝙄𝙇𝙄𝙊𝙉𝙄 𝟰 𝙕𝙄𝙉𝘼𝙏𝙊𝙎𝙃𝘼 𝙆𝙐𝙈𝙇𝙄𝙋𝘼 𝙁𝙀𝙄𝙎𝘼𝙇 𝙎𝘼𝙇𝙐𝙈 ?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK