AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mapya yameibuka katika sakata la mwanamke Jackline Mkonyi kudai amepigwa, kung’olewa meno na kutobolewa jicho na mumewe ambapo mwanaume anayetuhumiwa, Isaack Mnyagi ameibuka na kudai kwamba siyo yeye aliyempiga mkewe bali amepigwa na mwanaume wake mwingine (mchepuko).
Akizungumza kwa njia ya simu na Global TV, mwanaume huyo amesema mkewe huyo amekuwa na tabia ya kuwa na uhusiano na wanaume wengi nje ya ndoa yao, huku akitoa madai mazito kwamba pia amekuwa na uhusiano wa kimapenzi na mjomba wake.
Wakati mwanaume huyo akijieleza kwa upande wake, Jackline yeye anadai kwamba ni mumewe ndiye aliyemfanyia ukatili huo na kwamba tayari walisharipoti polisi, kauli ambayo pia imeungwa mkono na baba wa mwanamke
VIDEO:
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK