AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwenyekiti wa Kitayose FC, Yusuph Kitumbo na Kocha wa mpira wa miguu, Ulimboka Mwakingwe wamefungiwa maisha kujihusisha na mpira wa miguu.
Adhabu hiyo iliyotolewa na Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeeleza kuwa wanafamilia hao wawili wametiwa hatiani kwa kosa la upangaji matokeo.
Kitumbo na Mwakingwe walijihusisha na upangaji matokeo katika mechi za Ligi ya Championship kati ya Fountain Gate FC na Kitayosce FC iliyochezwa Aprili 29 mwaka huu mjini Gairo, Morogoro.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK