AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) imetangaza nafasi za ajira 524 ili kujaza nafasi mbalimbali ikiwa ni pamoja na nafasi 206 za maofisa wasimamizi wa kodi.
Tangazo la TRA lililochapishwa na gazeti la Daily News limeorodhesha idadi ya nafasi hizo na vigezo kwa waombaji na kwa ujumla waombaji wanapashwa kuwa tayari kufanya kazi popote pale katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
“Waombaji wote lazima wawe raia wa Tanzania wenye umri usiozidi miaka 45 isipokuwa kwa wale ambao ni katika Utumishi wa Umma,” taarifa ya Kamishna Jenerali Mamlaka ya Mapato Tanzania imesema.
Mwisho wa kutuma maombi ni Juni 9, 2023
READ AND APPLY HERE BELOW:
520 TRA Job Vacancies, May 2023 – Various Positions
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK