AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamati ya tuzo za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imefanya uteuzi wa wachezaji watakaowania tuzo ya mchezaji bora wa msimu wa 2022/23 Ligi Kuu Bara.
Fiston Mayele-Yanga Mzamiru Yassin-Simba Bruno Gomez - Singida Djigui Diarra- Yanga Saido Ntibazonkiza- Geita Gold/ Simba.
Kamati ya tuzo za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imefanya uteuzi wa wachezaji watakaowania tuzo ya beki bora wa msimu wa 2022/23 Ligi Kuu Bara.
Henock Inonga- Simba Dickson Job-Yanga Bakari Mwamnyeto- Yanga Shomari Kapombe- Simba Mohammed Hussein- Simba
Kamati ya tuzo za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imefanya uteuzi wa wachezaji watakaowania tuzo ya Kocha bora wa msimu wa 2022/23 Ligi Kuu Bara.
Nasreddine Nabi -Yanga Hans Pluijm - Singida Roberto Oliveira -Simba
Soma Orodha nzima ya waliochaguliwa kuwania Tuzo hapa chini;
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK