AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Staa wa Muziki wa Bongo Fleva Rajabu Abdul 'Harmonize' ambaye kwa sasa yupo huko Miami, Florida kwa ajili ya shughuli zake za kimuziki.
Akiwa huko, mwamba anaandaa video zake mbili mpya kama alivyotangaza kuwa atashoot video mbili katika mji huo.
Sasa kupitia ukurasa wake wa Instagram (Instastory), ametufahamisha kuwa ni mara yake ya kwanza kuwekeza mkwanja mrefu kwenye Music video yaani amewekaza zaidi ya Tsh.Milioni 353. (USD 150k).
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK