Harmonize noma, atupa Mil. 353 kwenye video

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Staa wa Muziki wa Bongo Fleva Rajabu Abdul 'Harmonize' ambaye kwa sasa yupo huko Miami, Florida kwa ajili ya shughuli zake za kimuziki.

Akiwa huko, mwamba anaandaa video zake mbili mpya kama alivyotangaza kuwa atashoot video mbili katika mji huo.

Sasa kupitia ukurasa wake wa Instagram (Instastory), ametufahamisha kuwa ni mara yake ya kwanza kuwekeza mkwanja mrefu kwenye Music video yaani amewekaza zaidi ya Tsh.Milioni 353. (USD 150k).
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad