Waziri Mkuu Kassim Majaliwa 'Task Force TRA Zisitishwe Haraka'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa baada ya kusikiliza kero za Wafanyabiashara wa Kariakoo leo ameiagiza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kufuta Vikosi Kazi (Task Forces) ambavyo amesema vinatumika kufanya kamatakamata na wakati mwingine kuchukua rushwa.

Waziri Mkuu Majaliwa akiwa Kariakoo jioni hii amesema “Tuna taarifa kuwa kuna kikosi kazi kimeundwa kinazunguka huko, Rais alikemea Vikosi Kazi (Task Forces) kwasababu vinatumika kuwasumbua Wafanyabishara na kuomba pia rushwa, naagiza hiyo Task Force isitishwe mara moja”

“Task force hii ndio inaendesha kamatakamata kila siku, Kamishna wa Mapato ya Ndani TRA naagiza isitishwe, kanuni zipo sheria zipo zinatuelekeza namna ya kulipa kodi, kamatakamata hii inafukuza Wafanyabiashara Kariakoo na mbaya zaidi mnawakamata hadi Wageni kutoka nje”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad