Waziri wa Elimu Ampachika Mimba Naibu Waziri Wake, Adai ni Ajali Kazini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


DRC: Waziri wa Elimu ya Msingi ya Sekondari na Ufundi (EPST), Tony Mwaba Kazadi amedaiwa kumpa ujauzito Naibu Waziri wake, Aminata Namasia akidai ni ajali kazini

Tony na Aminata wametajwa kuwa wapenzi kwa muda mrefu ambapo kufanya kazi pamoja kulichangia hisia kuongezeka baina yao licha ya ukweli kwamba wote wana Ndoa zao

Raia wa DRC wametumia Mitandao ya Kijamii kumkashifu Waziri huyo na Naibu wake wakisema wameonesha tabia mbaya na uthibitisho wa ukosefu wa Maadili Nchini humo
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad