AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
DRC: Waziri wa Elimu ya Msingi ya Sekondari na Ufundi (EPST), Tony Mwaba Kazadi amedaiwa kumpa ujauzito Naibu Waziri wake, Aminata Namasia akidai ni ajali kazini
Tony na Aminata wametajwa kuwa wapenzi kwa muda mrefu ambapo kufanya kazi pamoja kulichangia hisia kuongezeka baina yao licha ya ukweli kwamba wote wana Ndoa zao
Raia wa DRC wametumia Mitandao ya Kijamii kumkashifu Waziri huyo na Naibu wake wakisema wameonesha tabia mbaya na uthibitisho wa ukosefu wa Maadili Nchini humo
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK