AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Yanga Yatinga Fainali Ya Kombe La Shirikisho Afrika Kibabe
HISTORIA Imeandikwa baada ya klabu ya Yanga kuingia fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa mara ya kwanza ikiwa ugenini katika Uwanja wa Royal Bafokeng, mjini, Rustenburg nchini Afrika Kusini.
Yanga imetinga fainali hiyo kwa mara ya kwanza baada ya kushinda mechi ya mkondo wa pili ya nusu fainali dhidi ya Marumo Gallants kwa mabao 2-0, na kufuzu kwa jumla ya mabao 4-1, kwani katika mchezo wa kwanza ikishinda 2-0, nyumbani uwanja wa Benjamin Mkapa.
Kazi kubwa imefanywa na wachezaji wote wa Yanga wakiongozwa na Nasreddine Nabi ambaye ni Kocha Mkuu.
Ni Fiston Mayele alianza kupachika bao la kuongoza kwa Yanga dakika ya 44 kisha ngoma ikapachikwa na Kenned Musonda dakika ya 67.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK