Choo walichokalia Beyonce, Jay Z chauzwa Milioni 5

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Choo walichokalia Beyonce, Jay Z chauzwa Milioni 5


Unataka kukalia choo ambacho wamewahi kukikalia Jay-Z na Beyonce? Sasa kipo sokoni kwenye mtandao wa eBay, kinauzwa ($2,400) zaidi ya Tsh. Milioni 5.7.


Kampuni ya Eric Architectural Salvage LA inapiga mnada baadhi ya vitu ambavyo vilikuwa kwenye nyumba ambayo waliwahi kupanga mwaka 2015, Holmby Hills, Los Angeles.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad