AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mayele na Fei Toto |
“Nilikutana na kipa uso kwa uso nikampa pasi Nchimbi ili kufanya urahisi kwa Nchimbi kufunga lakini hakufunga. Mechi nyingine nikafanya hivyo kwa Mayele kwakuwa ni mwanangu nataka aongoze kwa magoli na yeye hakufunga!
“Shutuma za mimi kuuza mechi zikaanzia hapo, nikatukanwa natishiwa kwa kuambiwa ‘utarudi kwenu Pemba’, mimi mtanzania usiniambie Mpemba. Hiyo ikaanza kujenga hasira kwangu na manyanyaso bado yakaendelea.”
- Feisal Salum via #PowerBreakFast @cloudsfmtz
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK