Feisal Salum 'Nilimpa Pasi Mayele ili Afunge Akakosa Nikaambiwa Nauza Mechi Nitarudi Kwetu Pemba'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Feisal Salum 'Nilimpa Pasi Mayele ili Afunge Akakosa Nikaambiwa Nauza Mechi Nitarudi Kwetu Pemba'
Mayele na Fei Toto


“Nilikutana na kipa uso kwa uso nikampa pasi Nchimbi ili kufanya urahisi kwa Nchimbi kufunga lakini hakufunga. Mechi nyingine nikafanya hivyo kwa Mayele kwakuwa ni mwanangu nataka aongoze kwa magoli na yeye hakufunga!

“Shutuma za mimi kuuza mechi zikaanzia hapo, nikatukanwa natishiwa kwa kuambiwa ‘utarudi kwenu Pemba’, mimi mtanzania usiniambie Mpemba. Hiyo ikaanza kujenga hasira kwangu na manyanyaso bado yakaendelea.”

- Feisal Salum via #PowerBreakFast @cloudsfmtz

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad