Hii ndio Hatma ya Mane Bayern Munich

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Hii ndio Hatma ya Mane Bayern Munich

Sadio Mane amethibitisha kuwa atabaki Bayern Munich licha ya klabu hiyo kuonyesha nia ya kumsajili Harry Kane.


Tottenham wamekataa dau la kwanza la Bayern la pauni milioni 70 kwaajili ya kumnunua Kane, ambaye atafikisha miaka 30 mwezi ujao, lakini mabingwa hao wa Bundesliga wanatarajiwa kuwasilisha ofa ya pili hivi karibuni.


Mane, 31, amekuwa na wakati mgumu tangu ajiunge na Bayern kutoka Liverpool mwaka mmoja uliopita, kutokana na jeraha la mguu ambalo lilimweka nje kwa muda mrefu na akakosa fainali za Kombe la Dunia Qatar, mchezaji huyo wa kimataifa wa Senegal amefunga mabao saba katika mechi 25 alizocheza Bundesliga.


Mane alipamba vichwa vya habari kufuatia ugomvi kati yake na mchezaji mwenzake Leroy Sane na akasimamishwa kazi na kutozwa faini.


Mane aliulizwa na mtangazaji wa Senegal 2sTV kama ataendelea kukipiga Bayern, Mane. alisema:


“Ndiyo, Mungu akipenda. Endapo mambo yataenda sawa nitacheza Bayern, ninapenda changamoto kwahiyo nachopitia ni jambo la kawaida, Ulikuwa msimu mgumu sana.”

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad