Mbappé Achafukwa Adai Messi Hapewi Heshima Anayostahili Baada ya Kutangaza Anaondoka PSG

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mbappé kuhusu Messi kuondoka ndani ya PSG

"Bado sielewi kwanini watu wamefurahi Messi kuondoka Klabuni yule ni Legend anatakiwa kuewa heshima ni mmoja wa wachezaji bora katika historia ya soka Duniani sio habari njema Kwa mtu kama huyu kuondoka ndani ya timu ”

“Sielewi kabisa ni kwa nini watu wengi hawakumpa heshima anayo stahili ndani ya ndani ya Ufaransa "

Wafaransa bado wanaikumbuka Fainali ya Kombe la Dunia , wamemkunjia GOAT 🙌
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad