Rehema Chalamila 'Ray C' Kiuno Bila Mfupa Akata Kiu ya Mashabiki zake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


She is Back! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya mwanamuziki Rehema Chalamila 'Ray C' ama Kiuno Bila Mfupa amekata kiu ya mashabiki zake ambao walikuwa wanasubiri aachie wimbo mpya baada ya kupita muda mrefu.


Ray C amechia ngoma yake mpya ya 'Coco' kwa mara ya kwanza ikiwa miaka minne kupitia akaunti yake ya Youtube kutopandisha Audio/Video yoyote.


Ngoma ya mwisho ku-uploadiwa na Ray C ilikuwa 'Umizima' ambayo aliipandisha Feb 5, 2019.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad