AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mitandao inaripoti kwamba Cristiano Ronaldo amesaini makubaliano ya kabla ya ndoa (pre-nup agreement) ambapo imeelezwa kwamba, kama ikitokea wakaachana, nyota huyo wa Ureno atakuwa akimlipa mpenzi wake Georgina Rodriguez kiasi cha (€100,000) zaidi ya TSh. Milioni 257 kila mwezi katika kipindi chote cha maisha yake.
Ronaldo na Georgina wana watoto wawili pamoja huku wakilea familia ya watoto watano ambao Ronaldo aliwapata nje.
Una maoni gani? Tuachie comment yako.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK