Serikali Kushusha Faini ya Kutotoa na Kudai Risiti ya EFD

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Waziri wa Fedha, Dkt. #MwiguluNchemba, amependekeza marekebisho hayo kwa mujibu wa Kifungu cha 86(1) cha Sheria ya Usimamizi wa Kodi ili kushusha hadi Tsh. 3,000,000 (20% ya kiwango cha Adhabu ya Kutotoa Risiti ya EFD) kutoka Tsh. 4,500,000 ya awali

Pia, kiwango cha adhabu inayotozwa kwa makosa ya kutodai #RisitiYaEFD na kutotoa taarifa juu ya kosa hilo, kimependekezwa kuwa Tsh. 1,500,000 (20% ya thamani ya Kodi iliyokwepwa)

Viwango hivi viliwekwa kwa lengo la kuchochoea Utii wa Matakwa ya Sheria za Kodi zilizopo. Hata hivyo imebainika kuwa Viwango vikubwa vya Adhabu vinachochea mazingira ya #Rushwa.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad