Simba Under 20 Aibu Kubwa...Yamaliza Ligi Bila Goli, Yashika Mkia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Simba ilishafanya uwekezaji kwenye soka la vijana na ikawalipa, walizalisha wachezaji wengi ambao walipata nafasi kwenye timu kubwa na ambao walishindwa kuingia kwenye timu ya wakubwa walienda timu nyingine wakacheza Ligi Kuu!

Bahati mbaya ile ilikuwa project ya watu wachache ndani ya klabu, haikubebwa na kutazamwa kwa picha kubwa na klabu.

Watu wenye maono waliibeba halafu Geofrey Nyange ‘Kaburu’ akawa anawezesha kwa fedha kutoka mfukoni kwake.

Pata picha project ile ingeendelea hadi leo, Simba ingekuwa wapi? Wachezaji wangapi wangezalishwa? Simba ingepunguza gharama za usajili wa wachezaji wa ndani.

Lakini leo hii Simba U20 inamaliza ikiwa nafasi ya mwisho kwenye kundi lake [Kundi D] kwenye Ligi ya vijana [U20] tena ikiwa haijashinda mechi hata moja wala kufunga goli!
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad