TRA: Bila TIN kosa la jinai kuanzia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema hadi kufikia Desemba 31, mwaka huu kila mtu mzima nchini anatakiwa kuwa na Namba ya Mlipa Kodi (TIN).
Hayo yameelezwa na Ofisa Mkuu wa Usimamizi wa Kodi (TRA), Hamadi Mteri wakati wa ufunguzi wa semina kwa wanachama wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Dar es Salaam (DCPC).

Alisema wa mujibu wa mabadiliko ya sheria, kila Mtanzania mwenye umri wa miaka 18 anapaswa kuwa na TIN ifikapo Desemba 31 mwaka huu, la sivyo litakuwa ni kosa kwa mujibu wa sheria.

Akifungua semina hiyo, Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi (TRA), Richard Kayombo alisema Juni 30, tarehe ya mwisho wa mwaka fedha 2022/23 watakuwa wamekusanya Sh23.1 trilioni, mafanikio aliyosema yametokana na utoaji wa huduma za kidijitali na mifumo rafiki.

“Kwa sasa TRA imerahisisha mfumo kwa wafanyabiashara, hususani kwenye suala la namba ya utambulisho ya mlipa kodi (TIN), ulipaji wa kodi na mfumo wa forodha ambapo mteja anaweza kufanya vyote hivi kwa kurahisisha kazi zake," alisema Kayombo.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad