Wanigeria Waishika Dunia Kwenye Muziki, Burna Boy Alipwa Bilioni 5 Kuburudisha Fainali za UEFA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Itoshe kusema tu Nigeria imeishika Dunia upande wa muziki, ilianza Davido Kuburudisha Kombe la Dunia, ikaja Tiwa Savage Kuburudisha Mfalme wa Uingereza Akitawazwa kuwa mfalme na sasa Burna Boy 

Msanii BurnaBoy Na Grillz mpya zenye Tarehe ambayo amefanya show kwenye Fainali Za UEFA , Tarehe 10,6,2023. Burna amelipwa USD milioni 2 kwa show hio, Tsh bilioni 5,

Hii ni nafasi ambayo wasanii wengi Afrika walisema wanatamani kuipata, kufanya show katika fainali za Klabu Bingwa Ulaya
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad