Yanga yawasili Algeria, wabeba vyakula na wapishi wao kukwepa hujuma

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



 Ili kuhakikisha wanakwepa hujuma za aina yoyote kutoka kwa wenyeji wao, Yanga imesafiri Algeria ikiwa kamili

Wananchi wameondoka na viroba vya vyakula, maji na wapishi wao ambao huwatumia wakiwa kambini Avic Town


Yanga ilijipanga mapema kwani baada ya mchezo wa kwanza dhidi ya USM Alger uliopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa, Makamu wa Rais Arafat Haji na Mratibu Hafidh Saleh walitangulia Algeria

Imekuwa rahisi kwa Yanga ilipowasili Algeria haikukumbana na changamoto zozote kutokana na maandalizi yaliyofanyika kabla

Hii ni mechi muhimu kwa Yanga na Tanzania kwa ujumla, Wananchi wamejipanga kwa kila namna ili kuhakikisha wanaibuka na ushindi siku ya Jumamosi na kutwaa taji la CAF CC
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad