Aliyekuwa Mtangazaji wa BBC Afariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mtangazaji Mkongwe wa Shirika la habari BBC George Alagiah (67), amefariki dunia.

Alagiah alifanya kazi katika televisheni kwa zaidi ya miaka 30, vilevile alitangaza taarifa ya habari ya BBC ya saa kumi na mbili kwa miaka 20 na kuwa mmoja wa waandishi walioheshimika sana.

Aliwahi kuripoti kutokea nchi mbalimbali ikiwemo Iraq na Rwanda.

Mtangazaji huyo mwenye asili ya Srilanka aligundulika na saratani ya utumbo mwaka 2014, kufikia mwaka jana alitangaza kuwa saratani yake imesambaa.

Taarifa kutoka kwa wakala wake imesema, Alagiah amefariki leo kwa utulivu akiwa amezungukwa na familia na wapendwa wake.

Mkurugenzi mkuu wa BBC, Tim Davies ameeleza kusikitishwa kwake na kifo cha mtangazaji huyo na ametuma salamu za rambirambi kwa familia.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad