AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muungano wa Azimio La Umoja One Kenya, umetangaza kusitisha maandamano ya kuipinga serikali, yaliyokuwa yamepangwa kufanyika siku ya Jumatano, Julai 26, 2023, badala yake watafanya mkesha na kuwasha mishumaa kama ishara ya kuwakumbuka wote waliofariki kutokana na kile walichokitaja kuwa ni ukatili uliofanywa na Polisi wakati wakiandamana wiki iliyopita.
.
Kupitia taarifa iliyotolewa na Muungano huo, leo Julai 24, 2023, imedai kuwa watu 50 wamefariki, huku wengine wakilazwa hospitali kutokana na majeraha makubwa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK