AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa kutoka ndani ya Uongozi wa klabu ya Yanga zimesema kuwa mpaka sasa kuna majina mawili mezani ya Wachezaji wazawa, Simon Msuva na George Mpole.
Huku Jina la Simon Msuva likipewa kipaumbele zaidi,
Mazungumzo Upande wa Simon Msuva yanaendelea na kama watafikia anachohitaji basi anaweza kupewa Jezi namba 6.
Huku Mpole nae yupo nchini akisaka klabu ya kuitumikia japo kwa msimu mmoja ama zaidi kama mazungumzo yataenda sawa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK