Barbara Azidi Kukichafua Huko Twitter, Nini Kipo Nyuma ya Pazia?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Aliyekuwa CEO wa Simba SC, Barbara Gonzalez ameendelea kukinukisha huko Twitter kwa kuandika jumbe zake tata.

Mapema jana Julai 14, 2023, Barbara ameweka ujumbe mpya uliosomeka hivi:

"Ulevi wa madaraka haujawahi kuwa na mwisho mwema."

Kama kawaida ujumbe huo umezua mjadala na watu kuhoji ni kitu gani kilichopo nyuma ya jumbe hizo zinazoonekana kama kuna watu anawalenga.

Kabla ya ujumbe huo, Barbara aliandika jumbe nyingine tata ambazo pia ziliibua mjadala wa kutosha.


"Usilipize ubaya kwa ubaya, lakini usiwe mnyonge kudai haki zako!"

"Hauwezi kudhulumu haki za watu halafu ukataka amani na mafanikio."

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad