Bei za Petroli na Dizeli zashuka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imetangaza bei ya kikomo cha bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini ambapo bei ya petroli imeshuka katika baadhi ya mikoa.

Bei hizi zitaanza kutumika kuanzia Jumatano, Julai 5, 2023, saa 6:01 usiku. Taarifa iliyotolewa na mamlaka hiyo na kusainiwa na Mkurugenzi wa Ewura, Dk James Mwainyekule ilisema bei za rejareja za mafuta ya petroli na dizeli yaliyopokelewa kupitia Bandari ya Dar es Salaam zimeshuka kwa Sh 137 kwa lita na Sh 118/lita, mtawalia ikilinganishwa na bei za toleo la Juni 7 mwaka huu.

Pia, bei ya rejareja ya mafuta ya taa kwa Julai mwaka huu, itaendelea kuwa ni ile iliyotangazwa katika toleo la Juni 7, mwaka huu kwa kuwa hakuna shehena iliyopokelewa mwezi Juni mwaka huu.

Taarifa hiyo ilibainisha kuwa mikoa ya Kaskazini (Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara), bei ya rejareja ya mafuta ya petroli imeshuka kwa Sh 188 kwa lita wakati bei ya mafuta ya dizeli imeongezeka kwa Sh 58 kwa lita ikilinganishwa na bei za toleo la Juni 7, mwaka huu

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad