AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya boss wa Kings Music kuibuka na a.k.a mpya ya 'KWEVO' kwenye majibu ya dongo la Diamond, mwimbaji huyo wa 'My Baby' amerudi tena na andiko la kuwataka wasanii wenzake kukitumia kipindi hiki vizuri kwani hatakuwa na huruma hapo baadae dhidi yao.
"Angalau game imechangamka sasa, na mashabiki walipo wana 'ENJOY', sasa msiniangushe jamani, jitahidini kutumia vyema nafasi hii. Mkizembea tena kwa kweli, sitatoa msaada mwingine maana nitachoka kwasababu na mimi ni Mwanadamu".
Kisha amemalizia kwa kusema ataenda zake kuendelea na biashara ya Media kwasababu huko ndiko kuna ushindani halisia.
Diamond ameshirikishwa na @juma_jux kwenye 'ENJOY' huku King Kiba akiwa amempa shavu @marioo_tz kupitia 'SUMU'.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK