Diamond Platnumz "Siachi Mpaka Waombe Poo, Ndo Kwa Kwanza Tumeanza"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii @diamondplatnumz aliwahi kusema "Siachi pengo mpaka waombe poo" kwenye moja ya line kupitia freestyle ya 'All The Way Up' wimbo wa French Montana.

Sasa hiki ndicho kinaenda kutokea baada ya kusema kuwa nyimbo zitaendelea kutoka back to back mpaka mashabiki wenyewe wasema inatosha.

Tamko lake hilo limeambatana na shukrani zake kwa mashabiki ambao wanampa nguvu ya kuendelea kuibeba Tanzania mabegani kupitia muziki.

"Ahsante kwa upendo, kama ambavyo nilisema, ndio kwanza tumeanza. Ni Mvua ya Mawe hadi kuhakikisha mashabiki wenyewe mnasema jamani inatosha".
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad