Inshu ya Chama Kugoma Kwenda Uturuki na Simba, Unaambiwa Anatingisha Kiberiti ana Offer Kubwa Mkononi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kiungo Clatous Chota Chama
 

Kiungo Clatous Chota Chama hajasafiri na kikosi cha Wekundu wa Msimbazi, Simba SC kuelekea Uturuki kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya (pre-season) na kwa mujibu wa CEO wa klabu hiyo Imani Kajula kiungo huyo ana matatizo binafsi.


Hata hivyo inaelezwa matatizo ya mkataba ndio sababu ya Mwamba wa Lusaka kubaki Nchini na inadaiwa mkataba wake na Simba SC ulifikia ukomo mwisho wa msimu uliopita 2022/23.


Kwa mujibu wa vyanzo Chama ameuambia uongozi wa Wekundu hao wa Msimbazi kuwa anahitaji maongezi na ana ofa mkononi lakini alipoambiwa aseme ofa inatoka wapi 'The Triple C' amewaambia viongozi jambo hilo ni siri yake.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad