Kijana Amuua Mpenzi wa Mama yake Baada ya Kumkuta Chumbani na Mama

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Jeshi la Polisi Mkoani Arusha linamshikilia Kijana anayefahamika kwa jina la Rasuli Abdalah kwa tuhuma za kumuua Mwanaume anayefahamika kwa jina la Aniskari Maembe (pichani) baaada ya kumkuta akiwa amelala na Mama yake mzazi.

Noris Kivuyo ambaye ni Mwenyekiti wa Mtaa wa Makao mapya ambako tukio limetokea amesema Mtoto huyo alimkuta Mama nyumbani kwa Mwanaume huyo na kumtaka atoke nje na alipogoma alimtoa kwa hasira akiwa uchi na baadaye akanza kumshambulia Mwanaume kwa marungu hadi kufariki.

“Nilipouliza nikaambiwa ni Mtoto amekuja kumtoa Mama yake kwenye chumba ndani kwa Mwanaume, Mama alivyogoma alimtoa akiwa uchi na Mama alipiga kelele sana, nitoe ushauri ukiona Baba yako anatoka na taulo kwenye chumba cha Mama yako huyo ni Baba yako”

Mwanamke huyo alishaachana na Mumewe na akawa kwenye mahusiano na Mwanaume aliyeuawa, bado hajajulikana chanzo cha Mtoto kuchukua maamuzi hayo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad