Mayele Kweli Hayupo Yanga, Jina Lake Lakosekana Utambulisho Siku ya Wananchi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Yanga SC imetambulisha Wachezaji watakaowatumia katika msimu 2023/24 wa Mashindano mbalimbali.

Baada ya utambulisho huo ni wa Fiston Kalala Mayele ameondoka Yanga kutokana na jina lake kutotajwa katika list ya Wachezaji wapya wa Yanga.

Mayele pamoja na wenzake Djuma Shabani na Yanick Bangala nao hawajatajwa katika kikosi cha msimu ujao ni wazi wameachana na Yanga kabisa.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad