Mpaka Sasa Miili 419 Yapatikana Msitu wa Shakahola Baada ya Mingine 16 Kufukuliwa Wiki Hii

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Ongezeko la miili hiyo limepatikana Julai 18, 2023 wakati Watu 95 wameokolewa na Vyombo vya Usalama tangu kuanza kwa mchakato huo, ikiaminika Mamia ya Wafuasi wa Kanisa la Habari Njema, walifariki kwa njaa, kupigwa vibaya au kukabwa katika Msitu wa #Shakahola

Chanzo cha matukio hayo inatajwa ni #PaulMackenzie ambaye anashikiliwa akidaiwa kuhubiri kuwa mwisho wa Dunia unakaribia, hivyo kuwashawishi wafuasi wake kufa kwa njaa ili waweze kumwona Yesu.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad