Pesa Aliyouzwa Fiston Mayele Unanunua Manzoki 7 - Hans

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Pesa Aliyouzwa Fiston Mayele Unanunua Manzoki 7 - Hans


Mchambuzi wa masuala ya soka nchini kupitia Wasafi FM, Hans Raphael Mwambeki amesema pesa aliyouzwa mshambuliwa wa Yanga, Fiston Mayele ni kubwa kiasi kwamba Yanga wanaweza kununua wachezaji wazuri kuziba pengo la nyota huyo.


Mayele ambaye ni raia wa Congo anatajwa kumalizana na uongozi wa Yanga baada kuuzwa katika klabu ya Pyramids FC ya nchini Misri kwa kitita cha dola za za Kimarekani milioni 1.2 (sawa na Tsh bilioni 2.8).


"Tsh bilioni 2.8 ni pesa nyingi sana, unaweza kununua kikosi kizima au kuboreshea miundombinu, Yanga wanataka kujenga uwanja pesa kama hizo na nyingine kupitia mashindano mbalimbali ndio za kuanzia.


"Miquissone aliuzwa Tsh bilioni 1.5 kwenda Al Ahly imagine, ni karibu mara mbili ya pesa alizonunuliwa Mayele. Ninaamini viongozi wa Yanga watakuwa smart sana kupitia pesa hizo kupata wachezaji bora wakum-replace Mayele.


"Simba walishindwa kumnunua Manzoki kwa Tsh milioni 400, fikiria kwenye Tsh bilioni 2.8 unapata Manzoki wangapi," amesema Hans.


Iwapo Manzoki alikuwa akiuza kwa tsh milioni 400, kwa pesa walizopata Yanga kwa kumuuza Mayele, ni sawa na wachezai saba wenye thamani ya tsh milioni 400 kila mmoja.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad