AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
TANZIA: Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salum Jecha amefariki Dunia katika Hospital ya Lugalo Jijini Dar es Salaam. Maziko yanatarajiwa kufanyika Zanzibar
Akiwa Mwenyekiti wa Tume hiyo aliwahi kufuta Matokeo ya Uchaguzi Kisiwani #Zanzibar Mwaka 2015 akidai Uchaguzi huo haukuwa wa haki na kwamba kulikuwa na ukiukwaji wa Sheria za Uchaguzi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK