TANZIA: Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salum Jecha amefariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


TANZIA: Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salum Jecha amefariki Dunia katika Hospital ya Lugalo Jijini Dar es Salaam. Maziko yanatarajiwa kufanyika Zanzibar

Akiwa Mwenyekiti wa Tume hiyo aliwahi kufuta Matokeo ya Uchaguzi Kisiwani #Zanzibar Mwaka 2015 akidai Uchaguzi  huo haukuwa wa haki na kwamba kulikuwa na ukiukwaji wa Sheria za Uchaguzi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad