Watu 6 Wamefariki na Wengine 14 Kujeruhiwa Gaada ya Gari Kuwagonga wakifanya Jogging

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MWANZA: Watu 6 wamefariki na wengine 14 kujeruhiwa baada ya gari binafsi kuwagonga wakifanya mazoezi kandokando ya Barabara eneo la Sabasaba, Ilemela, asubuhi ya leo Julai 22, 2023
-
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Gideon Msuya, amesema Gari hiyo aina ya Toyota Hilux iliyokuwa ikitoka Sabasaba kuelekea Buswelu ilipoteza mwelekeo kutokana na Mwendokasi na kisha kuwavamia Watu 27 waliokuwa wakifanya Mazoezi
-
Amesema, Majeruhi Wanne wamepelewa Hospitali ya #Bugando, na wengine 10 Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, #SekouToure huku juhudi za kumtafuta Dereva zinaendelea kwa kuwa alikimbia mara baada ya tukio hilo
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad