AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
-
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Gideon Msuya, amesema Gari hiyo aina ya Toyota Hilux iliyokuwa ikitoka Sabasaba kuelekea Buswelu ilipoteza mwelekeo kutokana na Mwendokasi na kisha kuwavamia Watu 27 waliokuwa wakifanya Mazoezi
-
Amesema, Majeruhi Wanne wamepelewa Hospitali ya #Bugando, na wengine 10 Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, #SekouToure huku juhudi za kumtafuta Dereva zinaendelea kwa kuwa alikimbia mara baada ya tukio hilo
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK