AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
C.E.O wa Band ya Twanga Pepeta, Asha Baraka amemtaka Mlimbwende wa muda wote Wema Sepetu aolewe mapema kabla umri haujaenda zaidi kwani kunakoelekea atakosa mume kabisa.
Asha amemchamba Wema live walipokuwa wanapata chakula pamoja, ambapo amemshauri hata akipata mwanaume wa kumuoa awe mke wa pili (Uke wenza) akubali tu kwasababu umri umeshaenda akichelewa atakuta mwana si wake.
Asha amesema anataka aione harusi ya Wema kabla Mungu hajamchukua.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK