Fiston Mayele Afunguka "Nilimkataza Fei Toto Asiondoke Yanga"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


"Feitoto ni rafikiangu sana, anajua mambo yangu mengi na mimi najua mambo yake mengi. Wakati tukiwa Tunisia kwa ajili ya mechi dhidi ya Club Africain aliniambia anataka kuondoka Yanga!

“Nilimuuliza unaondokaje wakati bado unamkataba? Akaniambia kwa namna mkataba wake ulivyo anaweza kuondoka wakati wowote.”

“Nilimshauri asubiri hadi tumalize msimu halafu ndio aondoke lakini bado aliendelea kusisitiza anataka kuondoka Yanga.”

- Fiston Mayele via Yanga Documentary.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad