AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakati jana akiisimimisha 'dunia' ya wambea Instagram kwa kusema ana vitu alivyofanya na Diamond na kumtishia Zuchu kuwa asije akavitoa ikiaminika ni ushahidi wa kimapenzi, ghafla Gigy amebadili uelekeo.
Gigy amefanya mahojiano na waandishi kadhaa usiku wa kuamkia leo Agosti 26, 2023 na kusema watu wasimuelewe vibaya kwamba labda ametoka na Diamond, hajawahi.
"Mimi sijawahi kutoka na Diamond msitake niseme uongo, msanii pekee niliyetoka naye ni Alikiba," alisema Gigy.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK