AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Arusha. Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Ole Shangai ambaye alikuwa anashikiliwa na Polisi mkoani Arusha ameachiwa kwa dhamana usiku wa leo Jumatano Agosti 23, 2023.
Akizungumza baada ya kuachiwa Ole Shangai amesema kwa siku tatu tangu alipokamatwa aligoma kula na baada ya kujisalimisha Karatu alisafirishwa saa saba usiku Agosti 22 kurudishwa Arusha na alikuwa Kituo cha Diplomasia jijini Arusha.
Mbunge huyo alijisalimisha polisi kwa kile kinachodaiwa kuwa kuhusika na tukio la kushambuliwa waandishi wa habari lililotokea Agosti 15, 2023.
Waandishi hao walishambuliwa na wananchi kwenye mkutano uliofanyika eneo la Enduleni wilayani Ngorongoro.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK