AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mikopo umiza inayotolewa na watu binafsi mitaani imetajwa kuwa chanzo Cha ndoa nyingi kuwa hatarini kuvunjika kutokana na baadhi ya Wanawake kuweka dhamana vitu vya ndani ikiwemo hati za Nyumba na vinginevyo
Wakizungumza Wanawake wa Manispaa ya Shinyanga wamesema changamoto kubwa ni Mikopo umiza wanayochukua mitaani ambayo inasababisha wengi kuingia kwenye matatizo ya Kifamilia
Kwa Upande wake,Mbunge Viti maalum Shinyanga Salome Makamba wakati akiwatembelea Wakina Mama hao katika Maeneo Yao amesema wengi wamekua wakifuata mikopo hiyo kwakua ni nafuu Lakini huishia vilio
Nae Mkazi Wa Manispaa Shinyanga Mariam Senkondo amesema Mikopo Umiza imekua Janga Kubwa Kwa Wanawake kutokana na wengi wao kushindwa kulipa marejesho na familia kuingia hatiani
"jamani Wakina mama tuna wakati mgumu sana tunapenda mikopo Ili tufanye biashara Lakini inatuumiza wengine wanaita Kausha damu Sasa ukifikiria kwenda Benki masharti ni magumu zaidi ni Bora tufie hukuhuku"
Aidha,Wanawake hao wameiomba Serikali kuangalia pamoja na kuwadhibiti watu wanaofanya biashara ya kukopesha fedha na kutoza Riba kubwa ambayo imekua kama njia ya kuwakandamiza wenye kipato Cha chini .
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK