AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
@diamondplatnumz ameishikilia namba moja kwa muda mrefu kabla ya The African Giant, @burnaboygram mwenye subscribers zaidi ya milioni 4, kupokea taji hilo la Ufalme, akiwa na watazamaji bilioni 2,247,168,799 tofauti ya watazamaji zaidi ya millioni 4 na Diamond mwenye watazamaji billioni 2,243,099,382 na subscribers karibu milioni 8.
Mwezi Juni 12, 2011. Bosi huyo wa WCB Wasafi na mfanyabiashara nchini, alijiunga rasmi na mtandao huo wa ku-stream muziki, na miaka saba baadae mwimbaji wa Nigeria, Ogulu, nae mwezi Januari 13,2018 alijiunga na YouTube.
Hii hapa orodha ya wasanii watano (5) wenye watazamaji wengi wa jumla YouTube, katika ukanda wa Kusini mwa Jangwa la Sahara
1.Burna Boy - Bil. 2.247
2.Diamond Platnumz - Bil. 2.243
3.Wizkid - Bil. 1.7
4.Fally Pupa - Bil. 1.5
5.Davido - Bil. 1.3
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK