Skudu Aondoka Nchini Leo Asubuhi Kurudi Afrika Kusini, Sababu Hizi Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mchezaji wa Kimataifa wa Afrika Kusini Skudu Makudubela anayeichezea Yanga, leo alfajiri ameonekana akiondoka nchini kuelekea kwao Afrika Kusini.

Kuondoka kwake wengi kukawa kuna leta maswali ila Yanga wameweka wazi kuwa ameondoka kwa ruhusa maalum ya Kocha Gamondi kwa ajili ya kwenda kubadili hati ya kusafiria (Passport).
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad