AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imebainisha kuwa taarifa iliyotolewa awali na Afisa Mkuu wa Usimamizi wa Kodi wa Mamlaka hiyo kuwa bodaboda wataanza kutozwa kodi sio rasmi
Afisa huyo, Hamad Mterry alieleza kuwa Kodi mpya za Pikipiki za Matairi Mawili (Bodaboda) itakuwa Tsh. 65,000 na Bajaji Tsh. 120,000 na zitalipwa kwa awamu 4 ndani ya Mwaka
Alisema hayo wakati akiwasilisha mada ya Mabadiliko ya Sheria mbalimbali za Kodi kwa Wafanyabiashara wa Mkoa wa Simiyu, ambapo pia alieleza Kodi hizo zimeanza mwaka huu wa fedha ulioanza Julai Mosi, 2023.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK