Yanga SC Kinyonge imeanza Safari Kurejea Huku Kombe Likienda Msimbazi, Wajifariji kwa Picha Hizi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Yanga SC imeanza safari kurejea jijini Dar es Salaam ikitokea Tanga kujiandaa na mechi zinazofuata wakianza na KMC Ligi Kuu Agosti 23 katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi.

Yanga ilishuhudia rekodi yake ya kutwaa Ngao ya Jamii mara mbili mfululizo (2021-22) ikikomeshwa na Simba SC kufuatia kipigo cha penalti 3-1 baada ya dakika 90 za mchezo wa fainali ya Ngao ya Jamii 2023 kumalizika bila mshindi kupatikana.

Yanga sasa wanarejea Dar kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASAS FC ya Djibouti utakaopigwa utakaopigwa Agosti 8, 2023 katika Dimba la Mkapa.







----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad