Yanga Watoa Ufafanuzi Mchezaji Bigirimana Kuonekana Kambini Avic "Kaja Kupiga tu Mazoezi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Yanga Watoa Ufafanuzi Mchezaji Bigirimana Kuonekana Kambini Avic "Kaja Kupiga tu Mazoezi"


Uongozi wa Yanga umeelezea sababu ya aliyekuwa nyota wao Gael Bigirimana kuonekana kambini Avic Town ni kusalimiana na wenzake.

Akizungumzia ishu hiyo leo Agosti Mosi, 2023, Afisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe, alisema Gael ni familia ya Yanga hivyo alifika kambini kuwasalimia wachezaji wenzake.

“Alikuja kuwasalimia ndugu zake, sisi Yanga ni familia. Anafanya mazoezi na wenzake lakini sio mchezaji wa Yanga, ni kama vile Aziz Ki alivyokwenda kupasha na ASEC Mimosas,” alisema Kamwe.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad