AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia kwenye akaunti ya msanii Amber Lulu amewashangaza wengi, baada ya kutaja orodha ya wanaume aliotoka nao kimapenzi ambao ni mastaa
“Barnaba, Aslay, Rammy Galis na Young Dee lakini Young Dee sio sana, hao wanatosha, hao wengine hapana.
“Aslay nilishatoka naye ila alikuwa ni mtu fulani muelewa, yuko poa, ana heshimu mwanamke. Yuko noma, yuko vizuri, Aslay kiboko kabisa,” amesema Amber Lulu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK